FAHAMU MAGONJWA MBALIMBALI YAWAPATAYO NGURUWE, DALILI NA TIBA ZAKE

 Image result for NGURUE MGONJWA
Zifuatazo ni dalili za nguruwe mgonjwa;-
·         haonyeshi dalili za kupenda chakula
·         anaweza kuhema kwa kasi dalili ya homa
·         macho makavu
·         ngozi kavu
·         anakua anajitenga
·         masikio kulala
·         kwenye ngozi nyeupe ngozi inaweza kua nyekundu
·         mkia kua mwembamba
·         kuhalisha mda mwingine kuhalisha damu
MAGONJWA YANAYO SABABISHWA NA WADUDU
Wadudu wa ndani
Minyoo ndo wadudud wakuu wanaathiri tumoni kwa nguruwe, kuna minyoo zaidi ya 30,ila minyoo ambao wanaathiri kwa wakati mwingi ni minyoo duara(round worm) na minyoo tape(tape worm).
Round worm
Hii ukaa kwenye utumbo mpana wa nguruwe na uchukua chakula kutoka kwa nguruwe hivo nguruwe anaweza kukonda.minyooo mikubwa(Ascaris lumbricoides) hii ndo inapatikana sana.minyoo  hii nimikubwa urefu wa penseli.maambukizi yanaanza pale myama anapo kula chakula chenye mayai ya monyoo hao.
DALILI
·         Kunyonyoka manyoya(anorexia).
·         Upungufu wa damu(anaemia).
·         Baadae uzito upungua.
·         Minyoo wakitibiwa wakati washakua wengi wanaweza kukata utumbo na kusababisha kifo.
KUKINGA/PREVENTION
·         Kuzuia kwa kuweka dawa kwenye chakula na kutumia vyombo visafi
·         Kuchunga kwa kutumia njia ya mzunguko na kutibu nyasi
·         Kuwatenga watoto na wakubwa
·         Kuwapatia dawa ya minyoo mara kwa mara
·         Muoshe jike kabla ya kuzaa
·         Unaweza kutumia miti shamba aina ya moringa
Tape worm
Hawa wanakua frat kama rebon na wanapatikana mahali tofauti tofauti dunian.hawana utumbo hivyo wanakula kupitia ngozi yao na wanachukua virutubisho.hua wanachukua folic acid na vitamin B-12 mwilini,wanaweza kusababisha sumu kwakua baada ya kula wanaacha uchafu na unakua kama mpira ambao unakaa karibu na ini.
DALILI
·         Kudumaa
·         Upungufu wa damu
·         Ngozi kubadilika nakua mbaya
KINGA/PREVENTION
·         Kuwapa dawa ya minyoo
·         Hakikisha wanao hudumia nguruwe wawe wanatumia choo na kusafisha
WADUDU WA NJE
Wadudu wa nje inahusisha mange.lies na myiasis
Mange
Husababishwa na wadudu wanao itwa mites wanaishi kwenye ngozi ya nguruwe maeneo ya machoni, masikioni,miguuni  na shingoni
DALILI
·         Nguruwe anakua anjikuna kuna kwenye ukuta kwenye miguu,masikio,macho na masikio
·         Ngozi inakua na mabaka kama vibarango na mistali mistali mwenkundu kama vidonda
·         Manyoya hua yamevurugika
·         Ngome anakua hatulii
·         Vifo
·         Na kupungukiwa damu kwa watoto
KINGA/PREVENTION
·         Osha nguruwe mara mbili kwa wiki
·         Madume wanatakiwa kuoshwa pia
·         Wape dawa kila nguruwe anapoingia shambani kwako
·         Usafi wa banda
TIBA/TREATMENT
·         Unaweza kuwaosha  pia kwa maji safi na sabuni
·         Unaweza kuwaosha kwa  organophosphate
·         Unaweza kuwachoma Ivermectin kwakua inasaidia sana
CHAWA
Hawa wanakua wananyonya damu na dalili zake ni upungufu wa damu na pia mnyama anakua na madoa mekundu mwilini. Na pia unaweza kutibu Kwa kutumia viuadudu (insecticide) benzene hexachloride ndo hua inatumika kuua chawa.
MYIASIS
Huu ni ugonjwa unaosababishwa na nzi wanao taga mayai kwenye vidonda,mayai hayo hukua hadi kufikia hatua ya kua nzi mkubwa na husababisha kidonda kua kikubwa zaidi.
Kidonda hua kichafu na kua kama na ukungu mweusi ambayo hayo ni mayai ya nzi,hivyo kuzuia hii unatakiwa kusafisha banda na kupunguza idadi ya  nguruwe katika banda wasisongamane
KUWAPA DAWA ZA MINYOO(DEWORMING)
Dawa za minyoo ambazo zimehakikishwa nan i salama pale zinapo pewa kutokana na maelekezo sahihi ni kama
vermectin (Ivomec®), fenbendazole (Safe-Guard®), levamisole (Tramisol®, Levasole®), pyrantel (Banminth®), dichlorvos (Atgard®) na piperazine.
Unaweza kupanga ratiba ya kuwapa dawa zaminyoo na ukapanga na mtalaamu ili kua anawapa chanjo ifikapo siku sahihi
·         Dume/Boars – kila miezi 6 months
·         Jike/Sows – wiki 2 kabla ya kuzaa na baada ya kuwatenga watoto
·         Watoto/Piglets – wiki 1 baada ya kuwatenga
·         Wanao nenepeshwa/Fatteners – wiki moja baada ya kuwatenga na miezi mitatu badae
·          Gilts – wiki 1 aada ya kuwatenga na unaweza kurudia miezi mitatu badae
DAWA ZA WADUDU WANAO JITOKEZA MARA KWA MARA
MINYOO NA HATUA
DAWA
Ascarids(adult)
Zote
Ascarids(hatua ya larva wanao hama)
Fenibendazole
Ascarids(hatua ya larva waalibifu)
Fenibendazole.pyrantel
whipworms
Feniendazole, , dichlorvos
Noduluar worm
Zote
Minyoo ya figo(wakubwa)
Fenbendazole, ivermectin, levamisole
Minyoo wa figo(larva katika ini)
Fenbendazole, levamisole
strongloydes
Fenbendazole
Levamisole, ivermectin

Hakuna maoni:

CHANGE LANGUAGE

Inaendeshwa na Blogger.