Fahamu kwanini Kuku wako anaharisha damu.
![]() |
KUHARA DAMU ( COCCIDIOSIS) Protozoa ni vimelea ambayo husababisha ugonjwa huu. Rika zote za kuku hushambulia na ugonjwa huu. JINSI UNAVYOENEA Chakula chenye kinyesi au maji yenye ugonjwa huu yanaweza pelekea kuku kuambukizwa. DALILI •Kuharisha kinyesi kilichochanganyika na damu •Kuku kujitenga na wenzie au wengine bandani •Kupoteza hamu ya kula •Mabawa kushuka na kuzubaa •Kudhoofu a kupungua uzito TIBA Dawa aina ya AMPROLIUM, OXYTRACYCLINE au SALFA KINGA •Usafi wa banda na vyombo vya chakula na maji •Tenganisha vifaranga na kuku wakubwa •Ikifika umri wa siku saba vifaranga wapewe AMPROLIUM kwa siku 3,
Hakuna maoni: